Bamba la Karibi
Bamba la Karibi ni bamba la gandunia lililopo chini ya Amerika ya Kati na Bahari ya Karibi. Limepakana na mabamba ya Amerika ya Kaskazini, Amerika ya Kusini na Nazi (Cocos Plate). Eneo lake ni takriban milioni 3.2 km².
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/sw/thumb/9/98/Bamba_la_Karibi.png/250px-Bamba_la_Karibi.png)
Mipaka yake na mabamba mengine ni mahali pa matetemeko ya ardhi na milipuko ya volkeno. Baharini mpaka huu unaonekana kwa pinde la visiwa vya Karibi.
Nadharia ya asili yake
haririNadharia ya asili yake inasema ya kuwa bamba hili lilikuwa sehemu ya juu ya bamba la Pasifiki. Wakati bamba la Atlantiki ilisukuma mabamba ya Amerika ya Kaskazini na Kusini kuelekea magharibi bamba hili la Karibi ilijisukuma juu ya bamba la Atlantiki. Kutokea kwa mlango wa nchi ya Amerika ya Kati kulitenganisha bamba hili na Pasifiki.
Viungo vya nje
hariri- NOAA Ocean Explorer
- Caribbean Plate formation PDF file Archived 21 Oktoba 2006 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLuhaga Joelson MpinaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaEe Mungu Nguvu YetuClatous ChamaTanzaniaNembo ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaKumaShairiMaalum:MabadalikoyaKaribuniIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)VichekeshoDiamond PlatnumzFasihi simuliziOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMaumivu ya kiunoMawasilianoKamusi za KiswahiliOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMisemoOrodha ya nchi za AfrikaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaTendo la ndoaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoYoung Africans S.C.VitendawiliVita Kuu ya Pili ya DuniaMofimuShinikizo la juu la damuJumuiya ya Afrika MasharikiWasukumaJohn MagufuliKiswahiliMboo