Gao Xingjian
Gao Xingjian (amezaliwa 4 Januari 1940) ni mwandishi kutoka nchi ya Uchina. Hasa ameandika tamthiliya. Kwa vile alionewa na serikali ya Kichina, alihamia Ufaransa mwaka wa 1987. Mwaka wa 2000 alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fasihi.
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Gao Xingjian kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoShairiMikoa ya TanzaniaNembo ya TanzaniaLuhaga Joelson MpinaAina za manenoFasihi simuliziTanzaniaUandishi wa ripotiOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaVivumishiUkimwiKamusi za KiswahiliKumaSentensiNahauSimba S.C.NominoUzazi wa mpango kwa njia asiliaMaumivu ya kiunoMisemoKisaweJohn MagufuliOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMshororoJumuiya ya Afrika MasharikiFasihiSilabiMaalum:MabadalikoyaKaribuniNomino za wingiDiamond PlatnumzViwakilishiTamthiliaJohn Raphael BoccoSaidi Ntibazonkiza