Nadharia ya uhusianifu
Nadharia ya uhusianifu iliundwa na Albert Einstein na inajumlisha nadharia ya uhusianifu maalumu (mwaka 1905) na nadharia ya uhusianifu ya jumla (1916).
Uhusianifu maalumu husema:
- Kasi ya nuru huwa sawa kwa wachunguzi wote wenye kasi isiyobadilika.
Uhusianifu wa jumla huelezea mvutano kama mviringo wa nafasiwakati. Huendeleza nadharia ya uvutano ya Isaac Newton. Hutumiwa na fizikia ya ulimwengu ya kisasa.
Majaribio mengi yamethibitisha nadharia zote mbili,[1] kama vile majaribio ya Michelson-Morley na majaribio ya Ives-Stilwell (uhusianifu maalumu), na majaribio wa Pound-Rebka (uhusianifu wa jumla).
Marejeo
haririMakala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Nadharia ya uhusianifu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLuhaga Joelson MpinaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaEe Mungu Nguvu YetuClatous ChamaTanzaniaNembo ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaKumaShairiMaalum:MabadalikoyaKaribuniIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)VichekeshoDiamond PlatnumzFasihi simuliziOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMaumivu ya kiunoMawasilianoKamusi za KiswahiliOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMisemoOrodha ya nchi za AfrikaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaTendo la ndoaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoYoung Africans S.C.VitendawiliVita Kuu ya Pili ya DuniaMofimuShinikizo la juu la damuJumuiya ya Afrika MasharikiWasukumaJohn MagufuliKiswahiliMboo