Paul Berg
Paul Berg (amezaliwa 30 Juni 1926) ni mwanakemia kutoka nchi ya Marekani. Hasa anajulikana kwa uchunguzi wake wa DNA. Mwaka wa 1980, pamoja na Walter Gilbert na Frederick Sanger alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia.
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Paul Berg kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLimaIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)Orodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaTendo la ndoaJamii:Mbegu za jiografia ya Amerika KusiniLuhaga Joelson MpinaMikoa ya TanzaniaEe Mungu Nguvu YetuClatous ChamaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaDiamond PlatnumzFasihi simuliziJamii:Miji Mikuu AmerikaShairiMaumivu ya kiunoWilliam RutoLughaKamusiNembo ya TanzaniaOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaKamusi za KiswahiliMpira wa miguuVichekeshoOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaFasihiVita Kuu ya Pili ya DuniaJohn MagufuliZuchuOrodha ya Marais wa KenyaMbooMapenziHistoria ya KanisaAina za manenoVitendawili