Peter Simon Msigwa
Peter Simon Msigwa Amezaliwa 8 Juni 1965 ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Iringa Mjini kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
hariri- ↑ Tovuti ya Bunge la Tanzania, iliangaliwa Mei 2017
Makala hiyo kuhusu mwanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoClatous ChamaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaShairiAina za manenoLuhaga Joelson MpinaKamusiVivumishiNahauMshororoFasihi simuliziMikoa ya TanzaniaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMaumivu ya kiunoTanzaniaKisaweOrodha ya makabila ya TanzaniaKamusi za KiswahiliUandishi wa ripotiSimba S.C.KumaPeter Simon MsigwaVieleziFasihiVitendawiliMpira wa miguuMofimuSilabiNembo ya TanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaNominoUandishi wa inshaAlama ya uakifishajiUsafi wa mazingiraSentensiMisemoOrodha ya Vyuo Vikuu vya Tanzania