Rainer Maria Rilke
Rainer Maria Rilke (4 Desemba 1875 - 29 Desemba 1926) alikuwa mshairi na mwandishi wa Austria.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/79/Rainer_Maria_Rilke%2C_1900.jpg/220px-Rainer_Maria_Rilke%2C_1900.jpg)
Kazi zake zinazojulikana zaidi ni pamoja na mkusanyo wa mashairi ya Duino Elegies, Sonnets kwa Orpheus, na riwaya ya The Notebooks of Malte Laurids Brigge.
Maisha
haririRilke alizaliwa huko Prague, wakati ule chini ya Milki ya Austria-Hungaria.
Rilke alisoma fasihi, historia ya sanaa, na falsafa huko Munich na Prague. Alisafiri sana Ulaya na Afrika Kaskazini.
Tovuti zingine
haririMedia related to Rainer Maria Rilke at Wikimedia Commons
- Works by or about Rainer Maria Rilke Archived 26 Julai 2021 at the Wayback Machine.
- Rainer Maria Rilke, Profile
![]() | Makala hii kuhusu mwandishi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Rainer Maria Rilke kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaMikoa ya TanzaniaHurumaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKumaSilvestry Fransis KokaOrodha ya makabila ya TanzaniaTanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniDiamond PlatnumzShairiNipasheBaraza la Maaskofu Katoliki TanzaniaNembo ya TanzaniaKabukuOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMaumivu ya kiunoMbooMapenzi ya jinsia mojaSimba S.C.Tendo la ndoaKiswahiliKamusi za KiswahiliVita Kuu ya Pili ya DuniaMkoa wa PwaniMatendo ya hurumaAmri KumiKibonye mkatoAina za manenoMpira wa miguuVichekeshoBaraWasukumaJumuiya ya Afrika MasharikiClatous ChamaChama cha kisiasa