Sharjah
Sharjah (Kiar.: الشارقة ash-shaariqah) ni jina la emirati katika shirikisho la Falme za Kiarabu na pia jina la mji mkuu wa emirati hii.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/39/Al_Khan_Lagoon_by_Night.jpg/280px-Al_Khan_Lagoon_by_Night.jpg)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5d/Flag_of_Sharjah_and_Ras_Al_Khaimah.svg/220px-Flag_of_Sharjah_and_Ras_Al_Khaimah.svg.png)
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/73/UAE_en-map.png/300px-UAE_en-map.png)
Ina wakazi 636,000 kwenye eneo la 2,600 km² mwambanoni wa Ghuba ya Uajemi.
Jiografia
haririSharjah ni utemi mkubwa wa tatu kati ya Falme za Kiarabu. Inatawaliwa na Sheikh Dr. Sultan al-Qasimi.
Mji wa Sharja ina wakazi 519,000 (2003 sensa). Iko karibu na miji ya Ajman na Dubai na yote mitatu imekuwa sasa rundiko la jiji.
Viungo vya nje
hariri- Sharjah Commerce and Tourism Development Authority Archived 15 Machi 2015 at the Wayback Machine.
- Sharjah Police
- WorldStatesmen
- History of Kalba at uaeinteract.com Archived 23 Mei 2006 at the Wayback Machine.
- The Dawoodi Bohras in Sharjah Archived 5 Desemba 2006 at the Wayback Machine.
Magazeti za Falme za Kiarabu
hariri- Gulf News
- Khaleej Times
- Emirates Today
- 7 Days Archived 27 Septemba 2007 at the Wayback Machine.
- Gulf Today Archived 24 Agosti 2007 at the Wayback Machine.
- Emirates Evening Post Archived 7 Januari 2007 at the Wayback Machine.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoLuhaga Joelson MpinaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoMikoa ya TanzaniaEe Mungu Nguvu YetuClatous ChamaTanzaniaNembo ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaKumaShairiMaalum:MabadalikoyaKaribuniIdara ya Usalama wa Taifa (Tanzania)VichekeshoDiamond PlatnumzFasihi simuliziOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaMaumivu ya kiunoMawasilianoKamusi za KiswahiliOrodha ya Makamu wa Rais TanzaniaMisemoOrodha ya nchi za AfrikaMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaTendo la ndoaOrodha ya Watakatifu WakristoAina za manenoYoung Africans S.C.VitendawiliVita Kuu ya Pili ya DuniaMofimuShinikizo la juu la damuJumuiya ya Afrika MasharikiWasukumaJohn MagufuliKiswahiliMboo