Uislamu nchini Libya
Uislamu kwa nchi ![]() |
Uislamu nchini Libya ndio dini inayongoza kwa wingi wa wafuasi.
Sehemu kubwa ya waumini wa Libya ni wale wanaofuata dhehebu la Sunni, ambapo hutoa mafunzo ya kidini na mwongozo wa sera za utawala wa nchi na serikali kwa ujumla. Ni vigumu kubagusha dhana hii kwani hata kwa wale ambao hawakuamini Uislamu kikamilifu nao wamekuwa wafuasi wa utaratibu huu nchini humo.
Libya, wameweka vipaumbele juu ya thamani ya Uislamu na mafunzo yake, yaani, kuanzia utamaduni, mafunzo ya Qurani kwa kiwango cha juu mno, kiasi kwamba nchi hufuata miongozo ya sharia za Kiislamu.
Libya ina sehemu ndogo sana ya wafuasi wa Ahmadiyya na Shia hasa inahusisha wahamiaji kutoka Pakistani, kupitia majimbo yasiyojulikana nchini nzima.[1]
Tazama pia
haririMarejeo
hariri- ↑ "Pakistani Ahmedis Held", January 16, 2013. Retrieved on May 31, 2014.
Viungo vya Nje
hariri- Libyan Quran Reciter Archived 20 Aprili 2007 at the Wayback Machine. with live Quran for streaming.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziClatous ChamaKumaOrodha ya makabila ya TanzaniaShairiMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniTendo la ndoaMwanamkeTanzaniaMaumivu ya kiunoDiamond PlatnumzFasihiAina za manenoVichekeshoKamusiMpira wa miguuJohn MagufuliVivumishiSilabiKamusi za KiswahiliMtakatifu PauloOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMapenzi ya jinsia mojaMisemoUandishi wa ripotiYoung Africans S.C.TafsiriMbooInjili ya MarkoKiswahiliZuchuAmri KumiLughaOrodha ya Watakatifu Wakristo