Uislamu nchini Togo
Uislamu kwa nchi ![]() |
Waislamu nchini Togo wanawakilisha kati ya asimilia 12 na 20 ya idadi yote ya wakazi wa taifa hilo. Uislamu umekuja nchini Togo sawa jinsi ulivyokuja zaidi huko Afrika Magharibi. Sehemu ya Waislamu wa Togo ni wafuasi wa dhehebu la Sunni wanaofuata mafundisho ya imamu Maliki.[1]
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/9d/Togo_Mosque.jpg/220px-Togo_Mosque.jpg)
Tanbihi
hariri- ↑ CIA=Togo
![]() | Makala kuhusu Uislamu kwa nchi bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoFasihi simuliziClatous ChamaKumaOrodha ya makabila ya TanzaniaShairiMikoa ya TanzaniaMaalum:MabadalikoyaKaribuniTendo la ndoaMwanamkeTanzaniaMaumivu ya kiunoDiamond PlatnumzFasihiAina za manenoVichekeshoKamusiMpira wa miguuJohn MagufuliVivumishiSilabiKamusi za KiswahiliMtakatifu PauloOrodha ya Vyuo Vikuu vya TanzaniaMapenzi ya jinsia mojaMisemoUandishi wa ripotiYoung Africans S.C.TafsiriMbooInjili ya MarkoKiswahiliZuchuAmri KumiLughaOrodha ya Watakatifu Wakristo